Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, December 6, 2014

Maswali matatu muhimu ya kujiuliza leo ili kujua muelekeo wa maisha yako.

Maswali matatu muhimu ya kujiuliza ili kujua ni nini unapaswa kufanya.
i. Ni kitu gani ambacho unajua unataka ukifanye ila bado unakipuuzia kukifanya?
ii. Ni kitu gani unaweza kukisimamia leo?
iii. Ni kitu gani haupo tayari kukiacha/kukiharibu hata kama kungetokea nini?
Kwa kujibu maswali haya utajua ni kipi muhimu kwako na anza kukifanyia kazi.
Kama bado unapata shida ya kujua ni kipi muhimu kwako karibu kwenye ushauri utakaokuwezesha kujijua zaidi. Andika email kwenda ushauri@kisimachamaarifa.co.tz
Nakutakia kila la kheri.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment