Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, December 19, 2014

Hiki Ni Kitu Unachotakiwa Kufanya Kila Siku...

Linapokuja swala la kuhamasika/kuhamasishwa sio kitu kinachotokea mara moja halafu ghafla unakuwa mtu uliyehamasika.
Hiki ni kitu ambacho kinatakiwa kutokea kila siku ya maisha yako.
Usifikiri unasoma kitabu kimoja unapata maarifa yote unayohitaji, unatakiwa kujifunza kila siku kila siku, yaani namaanisha KILA SIKU, kama jinsi ambavyo UNAOGA KILA SIKU na kama ambavyo UNAKULA KILA SIKU.
Ndio maana mambo haya sio rahisi, yanahitaji kujitoa, yanahitaji kujikana?
Je upo tayari?
Upo tayari kufanya mabadiliko kwenye maisha yako mwaka 2015?
Kama upo tayari niambie NDIO kwenye maoni hapo chini, halafu tuma email kwenda makirita@kisimachamaarifa.co.tz ukisema upo tayari halafu nitakupa mpango mzima.
Pia tembelea www.amkaconsultants.blogspot.com ili kujifunza kitu kipya kila siku.
Karibu sana, TUPO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment