Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, February 17, 2015

NENO LA LEO; Furahia Kupingwa…

“Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds”. Albert Einstein

Mawazo makubwa mara zote hukutana na upinzani mkubwa kutoka kwa mawazo ya kawaida(hovyo).

SOMA; KAWAIDA Ni Tafsida Ya HOVYO…

Usiogope pale unapofanya jambo ambalo wewe unajua ni sahihi ila kuna watu wengi wanakupinga au wanakukatisha tamaa.

Jua kwamba wewe unaona mbali zaidi yao, unafikiria makubwa zaidi yao na utafikia mafanikio makubwa zaidi yao.

Ila ukikubaliana nao, utaendelea kuwa kama wao, utakuwa kawaida na kama tulivyosema maana ya kawaida ni hovyo, basi utakuwa hovyo.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Maswali 12 Muhimu Ya Kujiuliza Ili Kuweza Kufikia Mafanikio.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment