Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Sunday, February 15, 2015

NENO LA LEO; Jinsi Unavyoweza Kutumia Uwezo Mkubwa Wa Akili Yako

”Without inspiration the best powers of the mind remain dormant. There is a fuel in us which needs to be ignited with sparks”. Johann Gottfried Von Herder

Bila ya hamasa nguvu kubwa ya akili yako inadumaa. Kuna mafuta yako ndani yetu ambayo yanahitaji kuwashwa na cheche.

Akili yako ina uwezo mkubwa sana, ila huwezi kuutumia kama huujui.

Njia nzuri ya kuweza kutumia uwezo huu ni kujihamasisha kila siku.

SOMA; SIRI 50 ZA MAFANIKIO.

Jihamasishe kwa kujifunza na kujisomea

Jihamasishe kwa kuhudhuria semina na mafunzo mbalimbali.

Jihamasishe kwa kuamini kwamba unaweza na kujikumbusha hivi kila mara.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Sifa TATU Unazohitaji Ili Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment