Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, February 17, 2015

SIRI YA 20 YA MAFANIKIO; Iendee Dhahabu...

Watu waliofanikiwa sana sio watu wanaokubali kuwa kawaida. Hawakubali kuwa bora wa piku.
Hawaridhishwi na kufanya vitu kama kila mtu anavyofanya.
Washindi siku zote wanaongeza kiwango chao.
Wanataka kufanikiwa zaidi na wanataka kila wanachofanya kuwa cha daraja la kwanza.
Wanakwenda hatua ya ziada.
Wanaweka jitihada zisizo za kawaida kwenye kile wanachofanya.
Wanafanya kila kitu kwa ubora na wanajijengea sifa ambayo inawapeleka juu zaidi.

  “The kind of people I look for to fill top management spots are the eager beavers, the mavericks. The guys who try to do more than  they’re expected to do. They always reach.”  -Lee Iacocca

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment