Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Saturday, April 11, 2015

NENO LA LEO; Hiki Ndio Unachotakiwa Kufanya.

Only do what your heart tells you. -Princess Diana

Fanya kile ambacho moyo wako unakuambia ufanye.

Maisha ni yako na kama unataka kuyafurahia ni lazima ufuate kile moyo wako inachokuambia.

Kuna vitu ambavyo unapendelea kufanya hivi ndivyo vitakavyokuletea mafanikio. Kuna vitu ambavyo unajua ni muhimu kwako, vifanye hivi bila ya kusita.

SOMA; Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuondokana Na Msongo Wa Mawazo Na Kukosa Muda Katika Ulimwengu Huu Wa Utandawazi.

Lakini kama utaacha kufanya kile moyo wako unakuambia na kuanza kufanya kile ambacho kila mtu anafanya utaishi maisha ambayo huyafurahii. Utakuwa unaishi maisha ya kuendeshwa na wengine na huwezi kujitofautisha na kufikia mafanikio.

Fanya kile ambacho moyo wako unakuambia ufanye, hiko ndio kina mafanikio makubwa kwako.

Nakutakia siku njema.

SOMA; Sababu 10 Kwa Nini Hutafikia Malengo Yako 2015.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment