Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, October 16, 2014

NENO LA LEO; Kuhusu Ukuaji Wa Jamii.

A society grows great when old men plant trees whose shade they know they shall never sit in.

Jamii inakua pale ambapo wazee wanapanda miti huku wakijua hatawapata nafasi ya kukaa kwenye kivuli cha miti hiyo.

Ni lazima tuweze kujali vizazi vijavyo kama tunataka kuwa na maendeleo endelevu.

Nakutakia kila la kheri.

TUKO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment