Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Thursday, October 9, 2014

JE WAJUA; Madhara Ya Kula Huku Unaangalia Tv

Imekuwa ni jambo la kawaida kwa mtu kula huku akiangalia tv, simu au kompyuta.
Wakati mwingine mtu anaweza kuwa anakula huku anasoma kitabu, gazeti au jarida.
Hiki ni kitu hatari sana kwa afya yako. Tabia hii inakusababishia uzito wa mwili uliozidi(obesity) au kiribatumbo.
Hii inatokana na kwamba wakati unakula huku unafanya jambo jingine akili yako inakuwa haipo kwenye chakula na hivyo kula chakula kingi sana.
Badili tabia hii sasa ili kula kwako kuwe ni afya.
Tenga muda wa kula na usiingiliwe na kitu kingine.
Nakutakia afya njema.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment