Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, October 7, 2014

JE WAJUA; Nchi Ya Kwanza Africa Kupata Uhuru.

Libya ndio nchi ya kwanza Africa Kupata uhuru, na ilipata uhuru wake mwaka 1951, kutoka kwa Witali.

Misri ilipata uhuru wake mwaka 1952 kutoka kwa waingereza.

Na Ghana ndio nchi ya kwanza kusini mwa jangwa la sahara kupata uhuru wake. Ilipata uhuru mwaka 1957 kutoka kwa waingereza.

Je unajua nchi ya Africa ambayo haikuwahi kutawaliwa kipindi cha ukoloni?

Na je unajua nchi ya africa ambayo ilikuwa ya mwisho kupata uhuru?

Kama unajua weka maoni yako hapo chini, kama hujui weka maoni kwamba unataka kujuzwa.

TUPO PAMOJA.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment