Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Tuesday, October 21, 2014

JE WAJUA; Ujerumani Iliua Wagonjwa na Walemavu.

Wakati wa utawala wa Nazi chini ya Adolf Hitler, ujerumani ilianzisha sera ya kuua watu wote ambao walionekana ni dhaifu.
Katika sera hii inasemekana watu zaidi ya laki mbili waliuawa kati ya mwaka 1940 mpaka mwaka 1945.
Waliouawa walikuwa ni wagonjwa wasiopona na walemavu.
Madaktari walitumika katika zoezi hili.
Tukio hili pia limewahi kutokea nchini Uganda ambapo mtawala wa kipindi hiko Idd Amin alishutumiwa kukusanya walemavu na kwenda kuwatupa kwenye mto.

Picha; jengo lililotumika katika mauaji.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment