Jiunge Hapa Kupata Makala Mpya Inapotoka!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, December 19, 2014

Wewe Ni Wa Kwanza Kusoma Hapa…

Ndio wewe ni wa kwanza kusoma hapa, yaani ndio unapata habari hii kwa mara ya kwanza na unaipata hapa tu.

Wewe ni wa kwanza kusikiliza wimbo huu mpya, na unausikia kwa mara ya kwanza kwenye kituo hiki cha redio tu.

Wewe ni wa kwanza kupata habari hizi mbaya za ajali, umezisikia hapa tu…

Kuwa wa kwanza kupata kila habari inayotokea, kila linalofanyika, masaa 24 kwa siku, siku saba bkwa wiki.

Swali; je ukishakuwa wa kwanza inabadilisha nini?

Kupenda kuwa wa kwanza kwa vitu ambavyo havina msaada mkubwa kwentu kunatufanya tushindwe kufuatilia yale ambayo ni ya muhimu kwetu.

Kwa mfano unasoma kwenye mtandao; mtu fulani maarufu amekufa, na wewe kwa kuwa unataka kuwa wa kwanza kutoa habari, unakimbilia kusambaza, bila hata ya kudhibitisha kweli kama amekufa.

Tafadhali Washirikishe Wengine Makala Hii Nzuri!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment